Posts

Showing posts from May, 2021

NAMNA YA KUTONGOZA

Image
kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote. Hapa kunanjia 10 utakazozitumia wewe mwanaume ili kuhakikisha humkwazi mwanamke unayempenda mnapokuwa katika mazungumzo ; 1.  Wakati ukizungumza nae, jaribu kuzungumzia "hisia" kama vile kumbu kumbu yako ya utotoni, matarajio ya baadae au matamanio yake. Mada hii ya mazungumzo yenu yatafungua milango ya hisia zake ghafla. 2.  Wanawake huhitaji mwanaume asiyekuwa na uoga wa kuwamiriki na kuwaongoza. Wakati unazungumza na mwanamke tawala mazungumzo yenu na kamwe usimpe nafasi ya yeye kuanza kufikiri kuwa nini ulichokuwa ukizungumzia. 3.  Kuwa makini wakati unapokuwa ukizungumza nae huku akikupatia majibu yasiyo na hisia zozote za mapenzi. Hapo utajua kunakitu, hivyo kama kwa bahati mbaya uko nae karibu kiasi cha kugusana, basi jisogeze pembeni wakati ukiwa unaendelea kuongea ili asishtukie au unaweza kumuona hayuko sawa kat...

Messages

Image
  Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala  sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km  sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si  rafiki ni ndugu nnaekujali ......... Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila  nnapokuona huniondoka machungu tabia zako  mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona  mwambie ww ni wangu ....... Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi  yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika  kwa vile sijakuona  1,nuru humfariji aliye na huzuni     2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo                              3,pia ni nuru huangaza gizani,  wewe ni lulu yangu nakupenda xana, ......................   "Umbali si shari ila kujua hali ni mali",  "jambo la wema ni asali ukimya ni ajali",  "japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali" I...

Best Happy Birthday Wishes.

Image
    Dear siku zimekaribia, miaka …… utatimiza katika hii dunia, hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi. Happy Birthday mpenzi.  Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.

ASUBUHI NJEMA.

Image
Mpenzi sijui umenipa kizizi maana huishi kunijia kwenye njozi, hakika kwako sijiwezi, nadaka kila nikikuona kwenye lako pozi na usiku ukifika ndipo hutawala zangu njozi, tafadhali mpenzi usiniweke pozi, u hali gani la azizi?  Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.

Kutongoza mwanamke: Siri 15 za kumfanya mwanamke yeyote akupende.

Image
  Kutongoza mwanamke wakati mwingine inaweza kuwa na tatizo. Hizi hapa ni mbinu na ujanja 15 za jinsi ya kutongoza wanawake na wafall na wewe.Tumeshapitia hapo. Kuna yule mwanamke mrembo ambaye umekufia naye na una hamu ya kutaka kumjua. Lakini kuna lile tatizo linajitokeza ambalo linakufanya ushindwe kuongea na yeye uso kwa uso. Unatamani kuwa na uwezo wa kumuapproach ili umsome akili yake na umwambie yale yote yaliyo moyoni mwako.Hapo hapo, ijapokuwa kutongoza mwanamke huwa inakuja automatic kwa baadhi ya watu, kwa wengine inawafanya wajihisi wako katika hali ngumu. Yale mawazo tu ya kumuapproach mwanamke yakiwajia wanaanza kutokwa na kijasho kwa mikono, midomo inakauka, na unaanza kuongea kama kigugumizi unapotamka maneno – yaani inakuwa mbaya kujieleza na si vizuri itokee kwa mwanaume yeyote. Watu wa aina hii tumezoea kuwaita 'Domo Zege'Habari njema ni kuwa unaweza kujifunza njia za kutongoza, na ufanye mazoezi ya kutongoza hadi ujihisi kuwa umejiamini na tayari kuandama ms...

MISS YOU MY

Image
  They say as long as at least one person cares for you, life isn't a waste. So when things go terribly wrong, and you feel like giving up, please remember you still got me.  If only one star would fall every time I miss you, then all the stars in heaven would be gone. Don't wonder if there are no stars tonight! It's your fault coz you made me miss you a lot. Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane

MAPENZI NI DAWA;

Image
 

JINSI KUZUIA MIMBA KUTUNGA BAADA YA KUFANYA NGONO BILA KINGA.{EMERGENCY CONTRACEPTIVES PILLS]

Image
  Karibuni tena ndugu wasomaji wa SIRI ZA AFYA BORA, Kama tulivyosema mara ya mwisho kwamba tutakua tukiongelea makala za uzazi wa mpango kwa mda flani ili kuweka swala hili sawa kwa watu ambao hawafahamu. Leo tutakua tukiongelea jinsi ya kuzuia ujauzito kama njia ya uzazi wa mpango kwa mwanamke aliyetembea na mwanaume na kua na wasiwasi amebeba mimba baada ya tendo hilo.   Mwanamke huyu ni yupi? ·          Ambaye hakutumia kinga wakati wa tendo la ndoa. ·          Ambaye amebakwa au kulazimishwa kingono ·          Ambaye kondomu imepasuka wakati wa tendo la ndoa. ·          Ambaye ametumia vibaya njia yake ya uzazi wa mpango kama sindano au vidonge. ·          Kama mwanaume alishindwa kuchomoa wakati wa kutoa mbegu. Jinsi ya kutumia dawa baada ya matukio hayo. dawa hizo zinatakiw...

MTAKIE USIKU MWEMA KWA MSG HIZI TAMU.

Image
  Hakika mtoto umeumbika mithiri ya malaika japo mbinguni sijafika lakini nauhakika kwa kila mwanaume alie umbika na kukamilika akikuona lazima udenda utamtoka naomba japo yako dakika nipate kukueleza yamoyoni jinsi yalivyo nifika kwani siwezi tena kuficha jinsi ninavyo kupenda nakupenda amini kwako nimefika +++++++++++++++++++++++ Nimezunguuka pande zote za Tanzania macho nimeangaza kusaka mrembo wa kumkabidhi yangu nafsi na kulila tunda lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba yangu ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ungeniteka yangu nafsi nakupenda sweet

OMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO KWA MESEJI HIZI.

Image
  Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene! **** Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear.
Image
  Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA. kila kilicho “”MOYONI”” si rahisi kukitoa,Akuthaminie Hukuona “”GHALI””,akukumbukae juwa amekuhifadhi “”MOYONI”” na “”AKUNPENDAE”” Hachoki Kukuombea “”MEMA ucku  mwema  hny.  …………  Tunda gani liwe mfano wako? Hamna ! Ladha gani ishinde ukarimu wako? Hamna! Ni nani nimfananishe na wewe? Hakuna! najickia furaha kukutakia uck mwema 

Mchana mwema kwa mpenzi wako.

Image
  Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. Mchana  Katika hadithi zile za kale,  Watu walipendana nyakati zile,  Kwa mapenzi matamu yenye ukweli,  Mapenzi yao hayakujali mali,  Mapenzi yao yalipendeza sana,  Mapenzi yao ya kuaminiana,  Mapenzi yale mie nayatamani,  Ninayahitaji kutoka moyoni,  Ninajuwa mapenzi hayachagui,  Yanapojenga moyo wenye uhai,  Kuna mioyo inajuwa kupenda,  Mapenzi yake hayawezi kupinda,  Mapenzi yawezayo kukuzuzuwa,  Mapenzi moyoni yaliyotulia,  Mapenzi halisi ninayoyaimba,  Ambayo kutoka kwako nayaomba "nice noon my love. Dhamira kuu ya Moyo wangu ni Mapenzi, kukupenda kwa dhati bila kipingamizi, kuishi nawewe kihalali kwa kudra za wazazi, Nipende nikupende Tudumishe Mapenzi. “NAKUTAKIA MCHANA MWEMA MPENZI WANGU