Posts

Showing posts from June, 2020

Mbinu 5 za Jinsi ya Kutongoza Msichana Yoyote Mrembo na Akubali.

Image
Je , unamtamani msichana mrembo ambae kwa sasa ni kama marafiki ? au unavutiwa na yule demu unayemuona kila siku mtaani na unashidwa kujizuia sema hujui uanzaje ? Haijalishi kama unamjua au hamjuani , ila inapokuja kwenye kumtongoza mwanamke unachotakiwa kujua ni uelewa wa vitu kadhaa kuhusu jinsi kutamani kunavyokua na jinsi ya kufanyia kazi ili ufanikiwe . Kumtongoza demu na vitu unavyotakiwa kujua kwanza kabisa kama unataka kumtongoza msichana au kumfanya tu akupende tu , inabidi uwe mtu poa ambae anaweza kuvuta macho ya wasichana. Kama hautaweza kua mtu anayeweza kumvutia msichana kirahisi , utakua bado unauwezo wa kumtongoza mwanamke unayempenda lakini itakua ngumu kuwezesha yeye akukubali . Kiufupi fatisha njia hizi 11 rahisi na kiukweli kabisa utakua vizuri katika kutongoza na hata kwa mambo mengine yatakayofuata baada ya hapo. Tumia njia hizi moja baada ya nyingine na ijapokua utacheza karata zako vizuri basi lazima umpate mrembo yoyote unayemtaka hata kama kuna watu wengine ki...

USIKU MWEMA MY LOVE

Image
Hongera umezawadiwa safari ya kwenda KULALA  iliyoandaliwa na shirika la USIKU na kudhaminiwa na kampuni ya USINGIZI utapanda gari aina ya KITANDA lenye namba za usajili NJOZI NJEMA ukiwa safarini unashauriwa kufunga mkanda aina ya NETI au SHUKA ili kujikinga na AJALI ya   MALARIA.Pia usikose kupulizia dawa. ........................ Kutokana na kipaji changu cha kutabiri, nayaona yafuatayo kwako: 1. Umeshika simu yako ya mkononi. 2. Unasoma hii habari. 3. Wewe ni binadamu hai kabisa. 4. Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo. 5. Ha ha ha nakuona umejaribu kusema neno PIPI. 7. Unajicheka mwenyewe. 8. Nimeona meno yako. 9. Unatabasamu! 10. Umeruka namba 6. 11. Ha ha ha ha unacheki kama kuna namba 6. 12. Umetabasamu! ....Nilipe gharama ya utabiri .UCK MWEMA

Sms za asubuhi njema

Image
Najua mimi sio wa kwanza kukuombea mema ,ila napenda kuwa ni mmoja kati ya  wanaokutakia asubuhi njema. *°·.¸¸.°   ♥   °·.¸¸.° Uzuni ,upole,ukarimu wanakusalimia. Furahana unyenyekevu wapo njiani wanakujakwako .ila taabu nashida hawatakuja kwasababu wote wanaumwa.mawazo mashakana kukata tamaa wapo jela.ushindi utajiri na amani wapo njiani wanakuja asubuhi njema

Orodha ya kummiss mpenzi

Image
1. Kama ningepewa uwezo wa kuondoa kitu hapa duniani, basi ningeondoa umbali kati yetu. Nakumiss sana mpenzi wangu. 2. Maisha ni mafupi so tuvunje sheria pale tunapohitaji. Napo ni tuishi kikamilivu na tupende daima. 3. Sikuwa najua kwanini haswa mtu anaweza kumuangalia mwingine na kutabasamu bila sababu zozote hadi ule wakati nilipokutana na wewe. Nataka uwe wangu.

SMS KALI ZA MAPENZI KWA AJILI YA MPENZI WAKO.!!

Image
  Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi. *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°* Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji kuishi nikumbuke mimi. *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°* Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila nikijitahidi unaipoteza akili yangu

Zijue SMS Za Birthday Za kumtumia Mpenzi wako Au Rafiki

Image
Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wakwe zangu,  unajua ni kwa nini? Ni siku waliyokuleta kwenye hii dunia,  happy birthday mpenzi! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi  akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi,  pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi,  nakupenda la azizi. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Romantic Birthday wishes for Her

Image
  I just want you to know you’re being thought about and wished the very best of everything especially on your birthday. Happy Birthday!  Wishing you all the smiles and happy moments that you deserve on your special day! Happy Birthday to you!

Sms nzuri za mchana mwema

Nimezunguka pande zote za Tanzania macho nikiyaangaza kumsaka mrembo wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo ndani yake na kulila TUNDA lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ulie uteka moyo wangu. nakupenda laaziz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Raha ya ucngz ni ucngz . .  . .”tamu”ya penzi ni ndoto . Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi nikiwa mimi, •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute nakupenda mpz moyoni mwako unitulize. Nakupenda mpz

SMS TAMU 4 KUMMISS MPENZI WAKO

Image
1.Wewe ni kila kitu kwangu. 2.Nitateseka bila wewe. 3.Ninataka nikwambie tu kuwa ninakuwaza muda wote. 4.Ninatamani kuwa mikononi mwako muda wote.  

Message za mapenzi part 2, kwa mpenzi wako YouTube SMS ZA MAPENZI KWA NJIA YA PICHA, MTUMIE MPENZI WAKO

Image
1

ASUBUHI NJEMA BABY.

Image
 Maji hunitosha nisikiapo kiu, chakula hinitosha nisikiapo njaa, lakini wewe hunifaa kwa kila kitu!  Najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho juu, angalia usihadaike na walaghai, napenda mpenzi wangu! Mwaaaa…  Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yakon upo moyoni mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio naosema kuwa nakupenda, niamini mpenzi!  Kila ninapovuta hisia ya kuwa na wewe nachanganyikiwa, natumia mto pembeni yangu naufananisha na wewe, nakupenda mpenzi!

SMS ZA KUOMBA RADHI/ MSAMAHA MPENZI WAKO

Image
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• penzi la kweli siku zote hudumu,penzi la kitapeli haliishi ugomvi,mpenzi wangu leo nimegundua nakukosea na naahidi kubadilika na kuwa mpenzi mpya na bora,nisamehe . . Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

Ujumbe mtamu kwa umpendae

Image
If I had the letters “HRT”, I can add “EA” to get a “HEART” or a “U” and get “HURT”. But I’d rather choose “U” and get “HURT” than have a “HEART” without “U”. **** Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu tu uliyoyaficha hayo. pakua APP YA SMS TAMU ZA MAPENZI &NOGESHA PENZI.

Ujumbe mtamu kwa umpendae kwa dhati

Image
Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena. **** There’s a love that only you can give, a smile that only your lips can show, a twinkle that can only be seen in your eyes, and a life of mine that you alone can complete.

good night my love.

Image
.  Nikisema “-.-”    “m2 muhimu” Namaanisha M2 namthamini, M2 namjali, M2 nampenda, M2 namheshim M2 huyo  c mwingine ila ni ww ninayekutakia USIKU MWEMA. …………………………..

sms tamu ya usiku mwema

Image
 Kutokana na kipaji changu cha kutabiri, nayaona yafuatayo kwako: 1. Umeshika simu yako ya mkononi. 2. Unasoma hii habari. 3. Wewe ni binadamu hai kabisa. 4. Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo. 5. Ha ha ha nakuona umejaribu kusema neno PIPI. 7. Unajicheka mwenyewe. 8. Nimeona meno yako. 9. Unatabasamu! 10. Umeruka namba 6. 11. Ha ha ha ha unacheki kama kuna namba 6. 12. Umetabasamu! ....Nilipe gharama ya utabiri .UCK MWEMA