Posts

Showing posts from August, 2021

SMS TAMU ZA MAHABA KUMTUMIA MPENZI WAKO

Image
♥Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu                                        kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma                                       huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa                                       husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila                                         jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo                                        huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia    ...

Siri za Kudumu Katika Mahusiano ya Kimapenzi

Image
    Watu wengi wanatamani kudumu kwenye uhusiano lakini bahati mbaya huwa inashindikana. Mtu ambaye hadumu kwenye uhusiano, si kwamba anakuwa hapendi bali inatokea tu kutokana na sababu mbalimbali. Inatokea kwa sababu, huenda pengine ni kutokana na tabia zake au za mwenzake. Mfano, yawezekana akawa na ‘mdomo’ sana, yawezekana akawa mbinafsi. Au ana hulka ya ugomvi lakini mwenzake hana. Yawezekana akawa na tabia za kuchepuka. Yawezekana tatizo likawa la mwenzake, Akawa ana tabia zisizompendeza mpenzi wake. Yawezekana akawa mbinafsi, yawezekana akawa na hasira kali au akawa na tabia mbaya ambazo mwenzake ameshindwa kuzivumilia. Kikubwa tu, watu hushindwa kudumu penzini kwa kupishana mambo mbalimbali. Kuanzia tabia, mtindo wa maisha na wengine kutoelewana dhumuni la safari yao. Mara kadhaa nimekuwa nikisisitiza, unapoanzisha uhusiano na mwenzako lazima kwanza mjue lengo au madhumuni ya huo uhusiano wenu. Mwanamke ajue kwamba uhusiano wao ni wa muda mrefu au wa muda mfupi. Una mal...

BIRTHDAY SMS

Image
 Ninakutumia matakwa mazuri, kwamba furaha yako itakuwa nzuri kama ile furaha, uliyonipa kila wakati. Nakutakia Heri ya Kuzaliwa… **** Upendo wangu kwako hauna vifaa vya kudumu, Hautakosekana, Hautakauka kamwe Mara nyingi najiuliza Na kujiuliza, Kwanini ninahisi, Bila wewe ningekufa. ***** Ni siku nyingine tu, lakini hii ndiyo bora zaidi ya mwaka! Heri ya Siku ya kuzaliwa mpenzi wangu. ****

LEO NGOJA NIWAAMBIE KUHUSU UTAMU WA STYLE YA KIFO CHA MENDE

Image
 Sawa sikatai kwamba siku hizi tunaenda na wakati,tunakuwa wabunifu ili kufanya tukio zima la kufanya mapenzi linoge.Mikao ya hapa na pale..style za kila aina kama vilema vileee mmh hii yote ni kuleta mzuka katika mapenzi lakini nakupa sababu moja ya msingi ambayo inakubidi uendelee kutumia style hii (KIFO CHA MENDE) 1.Kwanza stlye hii utaijua maana yake kama unafanya na mpenzi wako wa dhati kabisa na si mtu tu ambae umeamua kufanya nae tendo la ngono. 2.Kufanya mapenzi ni njia nyingine kubwa ya kudumisha uhusiano wako na mpenzi wako style hii inakufanya uwe karibu sana na mpenzi wako wakati mna do...Style ya kifo cha mende inakufanya upate nafasi ya kumkumbatia mpenzi wako wakati mnafanya mapenzi,kumtizama usoni na kuona anajisikiaje wakati mnafanya mapenzi(anakufeel),wanawake tuna kawaida wakati gemu imekolea tunapenda kukumbatia kwa nguvu..kwa hiyo hapa utamvuta...utamkumbatia mpenzi wako..utamng'ata kwa wale wanaopenda kung'ata,utamlilia kwa wale wanaolia maaana kuna wengin...

ASUBUHI NJEMA MY LOVE

Image
  Natamani niwe kitu cha kwanza ambacho unafikiria pindi unapoamka, mpenzi wangu. Unafanya dunia yangu kuzunguka na kuzunguka kila siku. Sijui nitafanya nini bila wewe.   Wewe ni chuma katika ngao yangu, upepo katika dau langu na mdundo katika moyo wangu.

SMS za mapenzi zitakazo-hamsha hisia za mapenzi kwa mpenzi wako

Image
  Kwa sababu ya penzi lako, mpenzi wangu, naweza kuukwea mlima mrefu zaidi na pia kutatua matatizo makubwa zaidi. Penzi lako kwangu linayapa maisha yangu sababu za kufanikiwa.  Nikiwa na wewe ubavuni mwangu na penzi lako likizunguka moyo wangu, naweza kufanikiwa na chochote. Unanipa nguvu na nishati ya kukabiliana na chochote. Nakupenda kwa moyo na roho yangu. Bila penzi lako katika maisha yangu, maisha yanakuwa ya upweke na kiza. Wewe ndie unayeleta mwangaza na rangi ya upinde kwa maisha yangu, hata kama ni nyakati za mawingu. Asante sana mpenzi wangu.

SMS ya kumtakia sweet wako usiku mwema

Image
  Dah! Safari yetu ilikuwa ngumu kweli ila hatimaye tumefika japo ni usiku sana hebu tupige hodi tusije kabwa na vibaka hapa nje. Hodiiiiii, Hodiiiii, Tunaomba tufungulie Mlango,, sisi tunaitwa FURAHA, AMANI na UPENDO. Tumebeba HEKIMA, BUSARA na  MAFANIKIO . Tulikuwa wengi HURUMA na UPOLE wanakuja nyuma. CHUKI na WIVU hawana nauli. TABU ni mahututi. SHIDA yuko jela. MATATIZO amepigwa shoti ya umeme. MIKOSI amefariki njiani. LAANA ameliwa na mamba. UVIVU ameungua na maji ya moto hajiwezi. Tutakuwa nawe daima maana tumefika kwa  NEEMA  .  Mungu  akulinde na mabaya yote katika dunia hii. ucku mwema.   Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA

SMS ya kumtumia mpenzi wako kumwambia kuwa unamjali na kumpenda milele

Image
Tambua kuwa nakujali Furahia kwamba nitakuwa na wewe Katika siku zote za maisha yangu Nitakupenda bila kikomo milele Do you know that men and women are angels created with only one wing? And they need to embrace each other to be able to fly... Hope you can find your angel whom you can fly with forever. **** Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu anayekujali. ****

SMS KALI ZA MAPENZI KWA AJILI YA MPENZI WAKO!!!!!

Image
 Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu “SINTOMPENDA MWINGINE ZAIDI YAKO” *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°* Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI

HAYA SASA SMS MPYA KALI ZA MAPENZI

Image
 Mpenzi usiende mbali nami, njoo ufaidi utamu usioisha hamu, nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi asubuhi, nitakulisha unachokitaka, sitakubania kwani naogopa wengine wanaweza kukupa... njoo leo uniambie unataka nini? ******* Wengine waliachana wakati bado wanakupenda, wengine waliachana sikuchache baada ya kuchokana, wengine waliachana walipopata pesa, wengine waliachana walipopata wapenzi wapya..naomba nikutoe wasiwasi kuwa siwezi kukucha hata nipewe mamlaka ya kuogoza dunia nzima. ****** Nipe niridhike, nionjeshe usinilambishe nikigonga unikaribishe na ndoa yetu tuiharakishe. ******

SMS ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI ULIEMKOSEA

Image
 Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear...

i miss you my

Image
  Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi! Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

Happy birthday .. love sms

Image
  Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi. Leo ni siku yako ya kuzaliwa mpenzi wangu uluye mzuri machoni mwangu MUNGU alikuleta duniani ili wewe uishi moyoni mwangu nami niishi moyoni mwako .......happy birthday my love LIVE LONG..

NJIA YA KUMPATA MWANAMKE MZURI UMPENDAE.(Kwa watu wazima tuu)

Image
  Sanaa ya Kutongoza(Art of Seduction) ni sanaa yenye mambo mengi,lakini mara nyingi ni sanaa ambayo inaconcentrate kwenye attention ambayo wanaume wengi wanapenda na wanataka kuipata kutoka kwa wanawake. Leo nikaona si vibaya kama nikishare tips muhimu ambazo zitawasaidia kumpata mwanamke yeyote yule unaetaka kuwa nae, 1. JITAMBULISHE VIZURI KISTAARABU (INTRODUCE YOURSELF PROPERLY)Kama ndio umekutana nae kwa mara ya kwanza,hakujui na wewe humjui,ni vizuri ukajitambulisha vizuri kwa ustaarabu(usela,mapozi na uhuni weka pembeni),kama alikuwa anatembea unataka kumsimamisha,tumia lugha nzuri kumsimamisha,na usije ukasimama ukadhani atakufuata,changamka mfuate wewe,mkiwa mnatembea wote,jitambulishe vizuri,epuka maneno yatakayomkera,usimuulize maswali yatakayochokonoa maisha yake binafsi kwa kuwa bado hamjazoeana sana(Dont ask her personal questions) 2. ONGEZA MVUTO WAKO WA KIMWILI (UPGRADE YOUR PHYSICAL ATTRACTION)Wanawake wengi wanapenda wanaume wenye mvuto,wanapenda wanaume wenye mii...

JINSI KUZUIA MIMBA KUTUNGA BAADA YA KUFANYA NGONO BILA KINGA.{EMERGENCY CONTRACEPTIVES PILLS]

Image
  Karibuni tena ndugu wasomaji wa SIRI ZA AFYA BORA, Kama tulivyosema mara ya mwisho kwamba tutakua tukiongelea makala za uzazi wa mpango kwa mda flani ili kuweka swala hili sawa kwa watu ambao hawafahamu. Leo tutakua tukiongelea jinsi ya kuzuia ujauzito kama njia ya uzazi wa mpango kwa mwanamke aliyetembea na mwanaume na kua na wasiwasi amebeba mimba baada ya tendo hilo.   Mwanamke huyu ni yupi? ·          Ambaye hakutumia kinga wakati wa tendo la ndoa. ·          Ambaye amebakwa au kulazimishwa kingono ·          Ambaye kondomu imepasuka wakati wa tendo la ndoa. ·          Ambaye ametumia vibaya njia yake ya uzazi wa mpango kama sindano au vidonge. ·          Kama mwanaume alishindwa kuchomoa wakati wa kutoa mbegu. Jinsi ya kutumia dawa baada ya matukio hayo. dawa hizo zinatakiw...

Jinsi Ya Kusexchat Na Mwanamke mpaka apandwe na hamu kwako.

Image
  Kama mwanaume hajui kuanza kumsexchat mwanamke, kwa kawaida kuna mambo mawili ambayo huweza kutokea. Aidha hatowahi kujaribu, hivyo kukosa hatua muhimu ipasayo kutumika katika mchakato wa kutongoza mwanamke, ama atakuwa na wakati mgumu kujenga uhusiano kati yake na mwanamke wa maisha yake. Kama unataka kujua jinsi ya kujifunza kuanza kusexchat mwanamke kwa njia ambayo itamfanya avutiwe na afurahishwe, hii hapa ndio njia ya kufuata. Jinsi ya kusexchat na mwanamke #1 Jenga mpangilio wa toni.  Kuanza kuonyesha hisia zako za sexting bila mpangilio wowote ni hatua mbaya ya kutumia sababu utamshika mwanamke kwenye mataa. Balada yake, wakati unapoanza kutaka kusexchat lazima uje na hatua ya upole bila pupa. Weka toni ambayo itafanya chat yako ionekane imetoka naturally bila kuonekana kama imelazimishwa. Njia nzuri ya kuanzisha mazungumzo ya jumbe ambazo zinalenga kusexchat bila kuzua mukshili ni kwa kutafsiri majibu yake kwa njia ambayo itadokeza kuwa anajaribu kukutongoza. Wewe un...

sms nzuri kwa mpenzi.

Image
                                      .·•*•·.·°¯`·.·•  Nimezunguka pande zote za Tanzania machonikiyaangaza kumsaka mrembowakumkabidhi wangu moyo wenye upendondani yake na kulila TUNDA lakekwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiyeulie uteka moyo wangu. nakupenda laaziz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•  Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto . Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi nikiwa  mimi,•  

HATUA 15 ZA KUTONGOZA MWANAMKE AKUPENDE

Image
  Tabasamu. Kutabasamu ni hatua ya kwanza bora ya kuanzia, haswa wakati ambapo umeingiwa na kibaridi. Hakikisha ya kuwa anayaangalia macho yako na unamaintain mtizamo wa macho yenu. Tabasamu huku unajiamini na usiwe wa kwanza wa kuangalia kando. Kama atakurushia tabasamu, basi angalia kando kwa dakika chache halafu mwangalie tena huku ukitabasamu. Njia hii itampa ishara ya kumwambia kuwa uko interested na yeye. Lakini usifanye kosa la kurudia rudia kumtabasamia kwa sababu atakuona kama fala. So unachohitajika ni kujiandaa kumuapproach ili uanze mazungumzo. #2 Tumia miondoko ya mwili inayofaa.Hakikisha unamakinika na miondoko ya mwili wako wakati unapozungumza na yeye. Kama umeingiwa na wasiwasi, usitie shaka muaproach mwanamke huyu kana kwamba hauko interested na yeye. Kuikunja mikono yako, kuangalia miguu, na kuangalia kando hupaswi kufanya kamwe. Kuwa wazi na utumie macho yako kuwasiliana naye – mwangalie bila kuona aibu! Tumia mwili wako kumtongoza. Mwonyeshe kuwa umevutiwa na y...

NISAMEHE MPENZI WANGU

Image
 Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi! _______________________________________ Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

Upendo Ujumbe kwa Girlfriend, Boyfriend

Image
You ni mtu maalum sana na leo ni siku ya kuzaliwa yako hivyo Namshukuru Mungu kwamba alifanya wewe hivyo kamili, siku za kuzaliwa na furaha upendo wangu. You kufanya siku yangu ya furaha, kufanya upendo wangu wa kweli, mimi ni furaha sana, kwa sababu ya wewe. Happy Birthday.

Birthday Wishes for Best Friend

Image
  Birthday Wishes for Best Friend I often find myself thinking of the many ways you bring joy to others with an encouraging word, a helping hand, or a smile that’s always bright… I often find myself thinking how lucky I am to have a friend who’s as wonderful as you Happy Birthday!

SMS NZURIIIIIIIIIIIIIIIII

Image
  I love so much my heart is sure. As time goes on I love you more. Your happy smile, Your loving face, No one will ever take your place  Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daim

KABLA HUJALALA MTUMIE MSG HIZI

Image
 Mapenzi ni matamu na pia yanaraha wewe hauniishi hamu sikuzote raha wanipatia wewe kwangu ni mtu muhimu unayeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaa NAKUOMBA USINIACHE MPENZI ###################### wewe ni wapekee ninaye kupenda sifikirii kukusaliti na wala sina wazo La kukutenda nakuomba tuendelee kupendana siku zote habbity wangu

YAJUE HAYA MAMBO NANE (8) YA KUFANYA BAADA YA TENDO LA NDOA.

Image
  Kuna mengi ya mambo ya kufanya baada ya ngono badala tu ya kwenda kulala. Guys, kama wewe ni grasping katika Mirija juu ya mambo ya kufanya baada ya ngono, mimi nimepata mwongozo wako wa kulia hapa! Sisi ni kwenda kuchunguza kila aina ya mambo mbalimbali kufanya ili baada ya kufanya ngono wewe kuungana na mpenzi wako kwamba mengi zaidi! 1. Cuddle Hii ni kweli haki ya kiwango? cuddling na spooning baada ya ngono ni moja ya njia kubwa kwa basi mwanamke wako au hata mtu wako kwa kujua kwamba wewe upendo wao na kwamba wawili ni bora kushikamana sasa. Ni bora zaidi kuliko tu tu kugeuka juu na kuanguka usingizi haki? 2. Majadiliano Moja ya mambo makubwa ya kufanya baada ya ngono ni majadiliano. Huwezi kuwa na majadiliano kuhusu ngono, heck, huna hata kuwa na kuzungumza kuhusu chochote kweli, tu akizungumza na kila mmoja anaweza kufufua moto na hata kuboresha mawasiliano yako. Mbona si majadiliano kuhusu baadhi ya fantasies kwamba unaweza kuwa au hata kuzungumza kuhusu maisha yako ya ba...