Mchana mwema mpenzi wangu.

 *Ninawazia macho yako mazuri yakisoma hili, huku ngozi yako inang'aa kwa upole kwenye mwanga   wa simu yako, na nywele zako zikilala taratibu dhidi ya ngozi yako. Natamani ningekuwepo.

 *Hivi karibuni mwanga wa jua utaamka siku nyingine, na tutakuwa pamoja tena. Siwezi kusubiri.

*Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini     mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.

Comments

Popular posts from this blog

MESEJI ZA MAPENZI KWA MPENZI WAKO.