I love you baby.

 Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka kufa, kila siku zinavyozidi kupita najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa, nakupenda na nitakupenda hadi kufa!

 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

 Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi unazonipa kila kunapokucha, tambua kwako nimefika na siku utakayonipa zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau hadi kufa. 





Comments

Popular posts from this blog

MESEJI ZA MAPENZI KWA MPENZI WAKO.