Nimekukumbuka mpenzi wangu.

Sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!

 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Kamwe siwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo mwangu siku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!




Comments

Popular posts from this blog

MESEJI ZA MAPENZI KWA MPENZI WAKO.