Nisamehe mpenzi wangu sikutalajia kukosea.

 Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwakupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako,nimeambiwa ili nipone maradhi haya nipate:-                             

              (1)ushirikiano wako

             (2)furaha yako

             (3)upendo wako,    

              (4)tabasam yako.

Je! uko tayari kuokoa maisha yangu?

 *************

Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni,hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda

 *************

Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yakohifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi,amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.





Comments

Popular posts from this blog